Amani, rehema na baraka za Mungu
Nilimuota rafiki yangu anaongea na mimi kwenye simu akiniambia mungu akipenda muda si mrefu nitakuletea zawadi rafiki yangu ameolewa na mahusiano yangu nae ni mazuri sana kweli alikuwa akinipa zawadi kwa kila tukio. kwa muda wa mwaka mmoja, hakunipa chochote.