Niliota nimechumbiwa na mtu ninayemfahamu lakini sikuwa na mahusiano naye kiukweli, baada ya kunichumbia niliona dalili ya matatizo fulani lakini mtu huyo alirudi ndotoni. usichumbiane na huyu mtu, na matatizo yanatokea kweli tukatengana.Je kuna kurudi kama nilivyoona ndotoni?Tafadhali jibu